- Siku moja Familia iliyozoea matusi ilienda kumposea mtoto wao wa kiume mchumba kwenye familia ya wastaarabu!
Walipatana wawe na heshima WAKIFIKA kwa wakwe hamna kutukanana.
Wakiwa ukweni Mchumba akaleta chai bila kijiko.
Yule kijana akahamaki na kumkoromea mchumba wake:- ANETH!, Sasa mbona unaleta chai bila kijiko tutakorogea MBOO?
BABA KADAKIA: Nyamaza khanithi mkubwa wewe, kuwa na adabu pua ka kisimi!
DADA MTU NAE: Mnaliwa nini! Kwan hapa tumefuata chai au KUMA?
MAMA AKAMALIZA KABISA:- Wallah kwa matus haya kama tutapewa mke hapa - Serikali
ingetangaza eti kila mtu akijisajili Simu amsajili na mpenzi wake
aliyenae. Ingekuwa kimbembe kwani Kompyuta zingetoa majibu kama haya:-
SAMAHANI MPENZI UNAYEMSAJILI AMEKWISHA SAJILIWA NA MTU MWINGINE, TAFADHALI JARIBU TENA MWINGINE.
Hapo sasa ndio tungeulizana tupo wangapi!?? - Kwenye harusi Baba mkwe akapewa fursa ya kutoa Nasaha, akaanza:
SITAKI MAMBO YA KISENGESENGE KUMTESA MWANANGU, NIKISIKIA KAPIGWA TU NAKUJA KUFILA FAMILIA NZIMA KUMANINA ZENU, AKIKUKISS KIDOGO UNATAKA KUMTOMBA IWE NI MARA 1 KWA MWEZI SIO UIGEUZE KUMA YA MWANANGU DODOKI LA KUOSHEA MBOO NA PUMBU ZAKO, UMENIELEWA WE FALA!!? - Nyani
alichoka kuishi akatafuta njia yeyote ili ajiue akashindwa, akamfuata
simba aliyelala na kuanza kumchokoza ili aliwe afe!.
Akaenda akamtia kidole mkunduni mpaka simba akaamka.
SIMBA: Ni nani huyo?
NYANI: Ni mimi nyani.
SIMBA: Je kuna yoyote aliyeona ukinifanyia hivi?
NYANI: Hapana...
SIMBA: Basi fanya tena...!!
NYANI: Duh...!. - Ustadh Mmoja Mzinifu alimchukua Malaya na Kwenda Kulala Nae,
Ustadh alipoanza Kuichomeka
Mboo kwenye Kuma Malaya akaichomoa na Kuitia Mkunduni.
Ustadh akauliza huku wapi baby Mbona Pazuri Hivi?
Malaya akasema huku ni MAKA!, au Unataka Nikurudishe TANZANIA?
Ustadh: "Hapana Ngoja Nihiji Kabisa!! - Cheki Watoto Wa Digital Walivyo Haribika:-
Waziri Wa Ujenzi Alifanya Mkutano maeneo ya mjini Akasema "Mtu Yeyote Akijenga Pembeni Mwa Barabara Ile Nyumba Tutaiwekea X..."
Akashangaa Watoto Wanashangilia Kwa Furaha sana Akakaita Katoto Kamoja akakauliza:
Waziri:- Mbona Mnafurahi?
Kakamjibu:- Bora Ulete X Za Kiswahili 2mechoshwa Za Kizungu ambazo hata shanga hawavai...!! - MAZUZU mawili yalikuwa na uhusiano kimapenzi,
baadaye uhusiano ulivunjika.
ZUZU DUME
alikuwa akimsumbua sana kumpigia na kumtumia sms yule ZUZU JIKE kila
siku, naye zuzu jike hakupenda, akaamua abadili SimCard, alipoweka ile mpya tu akamtumia sms ZUZU DUME ''Nishabadilisha namba
hutonipata tena. naye akamjibu zuzu dume: "Nitahakikisha naitafuta hiyo namba yako mpya mpaka naipata. - Kuna dogo aliibiwa yeboyebo zake msikitini akawa analia ile mbaya,
Shekhe akamwambia:- Usilie mwanangu we mwachie mungu tu...
Dogo akajibu huku analia:- Mungu hazimtoshi zile yeboyebo ni ndogo... - WataaLam wa MAPENZ wanasema Ukipiga Bao 1 ni sawa na Kutembea kwa Miguu KiLometa 7...!!!
Na NnavyoKujua watu wa humu ndani, hasa wewe hapo tangu uanze kufanya ngono mwaka huu, utakuwa Umefika kabisa DARFUL SUDAN.
KWANI UONGO...!!! - A nigerian mama after recevng news that her daughter is pregnant!
Mama: Chineke Ooooh!!, ma daughter is pregnanto!
Daughter: Sorry mamaa i did not expect dat can hapen!
Mama: Shut up ur mouth, i told u when a man tach ur brest say "DONT" and when he tach ur vagina say "STOP" so why did dis hapen?
Daughter: I remember al dat mamaa, bt dat day he tach both at the same tym.. so i said "DONT STOP" ..So mamaa wht z my problem' coz i dd wht u told me! - Mchaga baada ya kufa akaulizwa na
ISRAEL: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbinguni na kushoto ni Jehanamu,
Je unachagua kwenda wapi?
MANGI akajibu: Nabaki hapa hapa njiapanda
ISRAEL: Kwa nini?
MANGI: Kwa sababu nikifungua duka hapa nitapata wateja wa Mbinguni na
wa jehanamu. - Jamaa alikuwa anasumbuliwa na panya akaamua kuwategea sumu kwenye nyama ya nguruwe, kesho yake akakuta karatasi imeandikwa:-
"TUWEKEE NA SAMAKI SISI WENGINE NI WAISLAM". - Mtoto; Mama!
Mama: Abee mwanangu.
Mtoto: Hivi Malaika si anapaa kuelekea mbinguni?
Mama: Ndio mwanangu. Kwanini umeniuliza hvyo?
Mtoto: Jana nimesikia baba anamwita HOUSE girl malaika wangu, kwani na yeye anapaa kuelekea mbinguni?
Mama: Ndio, Ila kesho atapaa kuelekea kijijini kwao pumbavu zake..!! - MMASAI kaenda church na MBUZI wake..
PASTA: Rafiki ingia kanisani mbona unakaa nje?
MASAI: Unasani mi MUJINGA SIO? si nackia SIMBA wa YUDA iko ndani? itakula mbusi yangu aisee!!.! - MAONGEZI YA WASICHANA WAWILI WAKISAFIRI KWA BASI KWENDA MKOA:
Msichana-1: Ni aina gani ya mume ungependa kupata?
Msichana-2: Awe Bilionea
Msichana-1: Je?! kama hautapata bilionea?
Msichana-2: Basi awe milionea.
Msichana-1: Je kama hutapata mwenye pesa kiasi hicho?
Msichana 2: Mwenye millioni moja anafaa pia.
Msichana-1: Kama sio?
Msichana-2: Mwenye laki tano sio mbaya sana.
(Zuzu aliyekuwa amelala kiti nyuma yao akanong'oneza)
"Akifika elfu moja uniamshe!"
Story za kitaani
Subscribe to:
Posts (Atom)
hahahah,,,guuud
ReplyDeleteHahahah
ReplyDelete🤣🤣🤣🤣🤣
ReplyDelete